Sunday, January 24, 2010

NMB YAPATA TUZO


Ofisa Mjasiliamali watu (Chief of Human Resources) wa Benki ya NMB, Kabeho Solo (kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya NMB, wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa PPF unaofanyika kwenye jumba la mikutano la AICC, mjini Arusha kila mwisho wa mwaka.

No comments:

Post a Comment