Friday, January 22, 2010

MIRADI YA SOLAR YAWEZA KULETA MAENDELEO VIJIJINI.

Utaalamu wa Solar, unaweza kuleta maendeleo vijijini, ni budi kuiga mfano huu wa mradi mkubwa wa solar unaomilikiwa na Masista Wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.

No comments:

Post a Comment