Thursday, February 18, 2010

SULEIMANI NYAMBUI NA MBIO ZA NYIKA 2010

Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania(RT) Suleiman Nyambui (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini hivi karibuni kuhusu wakimbiaji wa mbio za nyika za Kilimanjaro 2010 ambazo zitafanyika mwisho wa mwezi huu Mkoani Kilimanjaro(kulia) ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe.Mbio hizo za nyika zimedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, Vodacom.pamoja na makampuni mengine nchini ikiwemo kampuni ya KK Security,Tanga Cement.Good Year, Kilimanjaro Water,Tanzanite One, DT Dobie Tanzania, TPC, New Africa Hotel na Keys Hotel. Picha na Mwanakombo Jumaa.-Maelezo

No comments:

Post a Comment