Thursday, February 18, 2010
kamati kuu ya CCM Feb 13, 2010, Dodoma
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wamesimama na kuinamisha vichwa, kumkumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu, Hayati Rashidi Mfaume Kawawa kabla ya kuanza kwa mkutano wao Mjini Dodoma Februari 13, 2010. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa CCM na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, Mwenyekiti Mstaafu na Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi , Makamu mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Aman Abeid Karume, Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) , Pius Msekwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment