Thursday, February 18, 2010

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wamesimama na kuinamisha vichwa, kumkumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu, Hayati Rashidi Mfaume Kawawa kabla ya kuanza kwa mkutano wao Mjini Dodoma Februari 13, 2010. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa CCM na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, Mwenyekiti Mstaafu na Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi , Makamu mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Aman Abeid Karume, Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) , Pius Msekwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

kamati kuu ya CCM Feb 13, 2010, Dodoma

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wamesimama na kuinamisha vichwa, kumkumbuka aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM Mstaafu, Hayati Rashidi Mfaume Kawawa kabla ya kuanza kwa mkutano wao Mjini Dodoma Februari 13, 2010. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mwenyekiti Mstaafu wa CCM na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa, Mwenyekiti Mstaafu na Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi , Makamu mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Aman Abeid Karume, Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) , Pius Msekwa.

SULEIMANI NYAMBUI NA MBIO ZA NYIKA 2010

Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania(RT) Suleiman Nyambui (kushoto) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini hivi karibuni kuhusu wakimbiaji wa mbio za nyika za Kilimanjaro 2010 ambazo zitafanyika mwisho wa mwezi huu Mkoani Kilimanjaro(kulia) ni Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe.Mbio hizo za nyika zimedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, Vodacom.pamoja na makampuni mengine nchini ikiwemo kampuni ya KK Security,Tanga Cement.Good Year, Kilimanjaro Water,Tanzanite One, DT Dobie Tanzania, TPC, New Africa Hotel na Keys Hotel. Picha na Mwanakombo Jumaa.-Maelezo

Thursday, January 28, 2010

BDO LAUNCHED IN TANZANIA



Former first lady Mama Anna Mkapa (right) was among the guests who attended a reception to officially launch the BDO International firm in Tanzania, this is the fifth biggest auditing firm in Tanzania, before it merge with BDO it was called DCDM East Africa. Left is BDO International chief executive Officer, Sandeep Khapre and centre is Dr Ken Kwakuh, Chairman BDO Africa

ZAIN LAUNCHES 'NIPE NIKUPE' PRODUCT.


Zain Executives, during the launching of instant bonus airtime ‘Nipe Nikupe’ in Dar es Salaam yesterday, with this new product customers will receive back Sh 200 instantly for every sh 200 spent on a daily basis, which means every sh 200 spent on Zain calls per day will give you back the same amount to spend on Zain. The brand will also carter to other communications providers in the country. From left,The Marketing Manager Kelvin Twissa, Chief Operating Officer, Anglophone countries, Khaled Muhtas,Zain Managing Director and Ahsam Sayed, Marketing Director.

Tuesday, January 26, 2010